Hali ya haki za watoto Tanzania

by

12 min read
Rate this book:
56 pages 2002

About This Book

Research report on the situation of children's rights in Tanzania.

>Lengo kuu la utafiti huulilikuwa ni kubainisha hali halisi kuhusu usimamizi wa haki za watoto wanaokabiliwa na makosa ya jinai nchini, kwa minajili ya kuangalia ni kwa namna gani marekebisho katika mfumo wa sera na sheria kuhusu swala zima la haki za watoto yanaweza kufanywa. Utafiti huu pia ulilenga katika kubainisha ukiukwaji wa haki katika vyombo vilivyokabidhiwa dhamana ya kulinda haki za watoto wanaokabiliwa na makosa ya jinai nchini, kwa upande mmoja; na kwa upande mwingine, ulilenga katika kuweka kumbukumbu za kesi ambazo kwazo twaweza kung'amua kiwango cha usimamizi mzuri au usimamizi mbovu wa haki za watoto nchini.

- dibaji

Buy This Book

As an Amazon Associate and Bookshop.org affiliate, BookOrb earns from qualifying purchases.

Write a Review

Sign in to write a review.